Wednesday, October 3, 2012

HIVI NDIVYO BIRTHDAY YA DIAMOND ILIVYOKUWA NDANI YA D'MAGE HOTEL USIKU WA JANA

DIAMOND NA WASAFI.......
Kiukweli ntakua mchoyo wa fadhira endapo sintowashurukuru watu wote waliohudhuria katikaghafla fupi ya kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa jana 02/10/2012 katika hotel ya DEMAGE kinondoni...de Night was Crazy n Amazin , kiukweli nimefurahi sana kiasi kwamba hata sijui niwalipe kitu gani...
Hii ni cake maalum ambayo aliletewa  na Wema kama moja ya zawadi ya Birthday yake
Hapa akiwa na Dada yake wa hiyari Halima kimwana
Wema na dada yake Diamond Esma wakilishana Cake


mapenzi ni kikohazi kulicha huliwezi..........

All de way from UK Naj pia alikuwepo
Dimpoz kwa Poz, Mboni Masimba na Mecky




Hapa tukiwa na Roho ya Wolper Legraa Dallas

Bhaaaaaaasssssssss....!

Joff mnyama pia ndani
Hapa babtale na Naj wakiteta jambo

Team sheta pia Ndani....


Weeeeeeeeeeeeee.........!
Dallas tena......




gift from wema
 
 
 
Hapa wema na Mboni masimba
Kama ulikua haujui hawa ndio vijana wanaoongoza kwa Kuvimba mjini........LOL!








All de way from America Wasafi walikua ndani pia......

HAPPY BIRTHDAY DIAMOND












DOZEN & SHETTA
Watoto wa ManzeseTIPTOP pia ndani
Watuacheeeeee na Mama yangu mboni ali masimba.......

No comments:

Post a Comment